• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WATOTO 124 WAPEWA MSAADA NA SHIRIKA LA WAKINA FOUNDATION MBOZI

Kurushwa hewani: March 15th, 2024

Watoto 124 kutoka shule za msingi na sekondari kata ya Hezya Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi wamepokea msaada kutoka katika Shirika la Wakinamama na Watoto (WAKINA Foundation).


Wanafunzi hao wamepokea msaada huo Ijumaa Machi 15, 2024 katika shule ya Sekondari Hezya.


Akisoma taarifa ya Shirika hilo mratibu wa shirika hilo Isdory  amesema kuwa  kwa mwaka 2024 Shirika liliweza kupata fedha zaidi ya Shilingi milioni 17 ambapo fedha hiyo imeweza kununua mahitaji ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu ya shule


Amezitaja shule hizo kuwa ni pamoja na shule ya msingi Hezya, Haraka, Izumbi, Namwamgwa, Hayunyi, na Maringo na shule ya sekondari ya Hezya.


Amezitaja changamoto zinazolikabili Shirika kuwa ni pamoja na ukosefu wa elimu wa jamii inayowazunguka kuhusiana na malezi ya watoto yatima hivyo kuibuka kwa wimbi la ukatili pamoja na utoro wa wanafunzi wanaonufaika na Mradi ambao wakipokea vifaa wanaacha shule.


Changamoto nyingine ni kutumia vibaya vifaa walivyopewa na baadhi ya watu kutothamini jitihada za shirika


Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na viatu, sare za shule , madaftari, bima za afya, kalamu, begi za shule na sabuni za kuogea


Kwaupande wake mwakilishi wa Katibu Tawala Wilaya  Brighton Mwambalwaswa amelishukuru shirika hiyo kwa kutoa vitu hivyo ambavyo vitawasaidia kuwafanya watulie madarasani


Pia amesisitiza utunzaji wa vifaa hivyo iliviweze kudumu na kuwasaidie

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa