• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Historia

Wilaya ya Mbozi ni wilaya moja wapo katika wilaya 5 za mkoa wa Songwe.  Wilaya hiyo ilianzishwa rasmi tarehe 27/1/ 1974 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Julius Kambarage Nyerere .

Asili ya jina ‘’Mbozi’’ linatokana na  na dawa za asili zilizotengenezwa na majani ya miti yanayochumwa kisha kutwangwa kwenye kinu  na kuongezewa maji kidogo kisha kuchujwa  na kupewa mgonjwa, wanyiha huita dawa hiyo “Mbozyo” ambapo wazungu walishindwa kutamka neno Mbozyo wakatamka “Mbozi”.

Wilaya ya Mbozi iko upande wa Kusini Magharibi mwa Mkoa wa Mbeya, kati ya Latitudo 80 na 90 12’ kusini mwa Ikweta na Longitudo 320 7’ 30’’ na 330 2’ 0’’ Mashariki mwa Greenwich Meridian. 

Wilaya ya Mbozi inapakana na wilaya ya Mbeya kwa upande wake wa Mashariki, Wilaya ya Ileje upande wa kusini, wilaya ya Momba upande wake wa Magharibi na wilaya ya Songwe upande wa Kaskazini.

          Migawanyiko ya Eneo na Utawala.

Wilaya inachukua jumla ya eneo la kilomita za mraba 3,404 (Ha 340,400) zilizoainishwa kama:-

i.       Ardhi ya kilimo ……        255,300 Ha (75%)

ii.      Misitu ya hifadhi ……….....34,040 Ha (10%)

iii.     Makazi na matumizi mengine .... 44,252 Ha (13%)

iv.     Eneo Lililofunikwa na maji ………………… 6,808 Ha (2%)

Jumla ……………………………………….          340,400 Ha

 

Wilaya imegawanywa katika Tarafa 4, Kata 29 Vijiji 121 na Vitongoji 665 . Wilaya ya Mbozi ina majimbo mawili ya uchaguzi ambayo ni Jimbo la Vwawa na Jimbo la Vwawa.

        Hali ya hewa

Wilaya ya Mbozi iko kati ya mita 1,400 – 2,750 kutoka usawa wa bahari. Kwa wastani hupata mvua kati ya 1350 mm na 1550 mm kwa mwaka; wakati halijoto ni kati ya 200C hadi 280C.

Iko ndani ya ukanda wa nyanda za juu, topografia yake ina sifa ya vilima kadhaa vyenye mito na mabonde yanayofaa kwa shughuli za umwagiliaji .

Katika ukanda huo, kuna aina tatu za udongo nazo ni: udongo wa volkano, udongo wa mfinyanzi wenye mchanganyiko mzuri wa mchanga na tifutifu.

Hali ya hewa yake ina sifa ya joto la wastani na mvua nyingi, kutokana na sifa hizi mazao makuu yanayolimwa katika ukanda huu ni kahawa, mahindi, maharagwe, viazi mviringo, karanga na ndizi vilevile kwa kiwango kidogo viazi vitamu

        Idadi ya watu

Kwa mujibu wa sensa ya watu ya mwaka 2022, wilaya ya Mbozi ina wakazi 510,599 ambapo wanaume ni 241,636 na wanawake ni 268,963

       Usambazaji kwa Eneo.

Mgawanyo wa watu katika Wilaya unachangiwa kwa kiasi kikubwa na rutuba ya ardhi, hali ya hewa na upatikanaji wa huduma za kijamii na kiuchumi. 

       Kundi la kikabila.

Katika wilaya ya Mbozi kabila kubwa ni Wanyiha ambao wanachukua zaidi ya 50% ya watu wote. Makabila mengine ni Wanyamwanga, Wanda, Wanyakyusa, Ndali, Lambya, Malila.


Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa