• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI KATA NA VIJIJI WAONYWA URASIMU UTOAJI WA VITAMBULISHO SONGWE

Kurushwa hewani: April 9th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda ametoa wito kwa watendaji wa kata, mitaa na vijiji kuepusha urasimu katika zoezi la ugawaji wa Vitambulisho vya Taifa.


Bi. Seneda ambaye amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo, ametoa maagizo hayo leo  Jumanne Aprili 9, 2024 wakati wa hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa vitambulisho vya  Taifa kwa Mkoa wa Songwe iliyofanyika katika Kata Mlowo.


Amesemakuwa zoezi la ugawaji lisianze kuwa na longolongo au mizinguko mizinguko kumpata Mtendaji Tena iwe shida tusingependa iwe hivyo


"Kama mwananchi atapata changamoto yoyote katika kupata kitambulisho na kama yupo kwenye orodha ya watu wanaopata vitambulisho asisite kuripoti na kutoa taarifa:


"Sisi viongozi wa mkoa, Wilaya tupo tayari kusimamia zoezi hilo ili liende vizuri ili Mkoa wa Songwe uibuke kidedea katika zoezi hili" amesisitiza


"Leo tupo hapa kushuhudia zoezi la uzinduzi wa ugawaji wa vitambulisho vya NIDA katika Mkoa wetu wa Songwe. Ifahamike kwamba Taasisi ya NIDA inajukumu mahususi la kusajili na kutambua raia na wageni wote wanaokidhi vigezo vya kupatiwa vitambulisho vya Taifa. Nimefurahi kuona Taasisi ya NIDA imefanya maboresho makubwa kwenye usajili na utambuzi wa wananchi" ameeleza


Amesema kuwa Serikali chini ya Rais Mhe, Dkt Samia Suluhu Hassan imefanya maboresho makubwa katika Taasisi ya NIDA na sasa kasi ya uandikishaji na upatikanaji wa vitambulisho imeongezeka kwa kiwango kikubwa sana


"Jitihada hizo zimepelekea wananchi 502,790 katika Mkoa wa Songwe kupatiwa namba za utambulisho wa taifa na awamu hii tunatarajia kugawa vitambulisho 306,318 ambavyo tayari vimeandaliwa na kufika katika Mkoa wetu wa Songwe" ameeleza


Amesema kuwa katika Wilaya ya Mbozi pekee ina jumla ya vitambulisho 170,000, na mpaka sasa vitambulisho hivyo vimesambazwa kwa watendaji wa kata, mitaa na vijiji t

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa