• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WASISITIZWA KUPANDA MITI, KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA, MBOZI

Kurushwa hewani: May 2nd, 2023

MBOZI. Wananchi wa Wilaya ya Mbozi wametakiwa kupanda miti katika vyanzo vya maji na kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.


Wito huo umetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbozi (DAS), Tusubilege Benjamin kwa niaba ya  Mkuu wa Wilaya hiyo, Esther Mahawe wakati wa upandaji miti katika chanzo cha maji Ntosa Kijiji Cha Nambala kata ya Mlowo wilayani Mbozi ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.


Amesema kuwa hayo ni maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan  ambapo suala la mazingira ni la Muungano.


Katibu Tawala huyo amesema kuwa upandaji wa miti huo katika chanzo hicho unawakilisha zoezi hilo katika kata zote za wilaya ya Mbozi.


"Leo tunafanya hivi lakini tunawakilisha umma wa Wilaya ya Mbozi ambapo kila kata inatakiwa kufanya hiki ambacho tunakifanya kukifanya hapa" ameelekeza


"Leo tunapanda miti 2300 ambapo lengo lake ni kuweka kumbukizi ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika Wilaya yetu ya Mbozi" amesema


Amesema kuwa "Miche hiyo pia ni kielelezo na ujumbe kwa wananchi wa wilaya yetu kwamba tunapaswa kutunza mazingira, kulinda vyanzo vya maji na kujenga utamaduni wa kupenda mazingira" amesema


Ameeleza kuwa miti ina msaada mkubwa katika maeneo ya watu ikiwemo kuepusha majanga hususani kipindi cha mvua kubwa na radi.


Amesema kuwa eneo likiwa wazi bila miti radi ikipiga ni rahisi madhara kuwa makubwa.


Katika zoezi hilo la upandaji miti lililofanyika leo Jumatano Aprili 19, 2023, miti 2,300 imepandwa ambapo kati ya miti hiyo 2, 200 imetolewa na TSF huku familia ya Mwaisoloka ikitoa miche100.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa