• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WAPANDA MITI 2000 KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUUNGANO MBOZI

Kurushwa hewani: April 23rd, 2024

Mkuu wa mkoa wa Songwe Mhe Daniel Chongolo amewataka wakazi wa Mbozi kuhakikisha wanajenga utamaduni wa kupanda miti ili kutunza mazingira na kuacha tabia ya kupanda miti kwa matukio

 

Mkuu wa Mkoa huyo ameyasema hayo leo wakatia wa zoezi la upndaji miti lililofanyika leo Jumanne Aprili 23, 2024 katika eneo la Ilembo kata ya Vwawa

Mkuu wa Mkoa huyo amesemakuwa wananchi wanatakiwa kupanda miti kwa dhamira, nasio kufanya kama  kazi, na inatakiwa miti ikipandwa ionekane isiwe ya kutafuta

"Nimeambiwa Halmashauri ina lengo la kupanda miti milioni 2 kwa mwaka lakini nikisema nitembee kuhesabu miti hiyo hata elfu moja sidhani kama itafika" amesema Mkuu wa Mkoa huyo na kuongeza

‘’Mimi ni seme ni lazima tuanze kuutengeneza huu utamaduni tokea shuleni, tutapita Kila shule tukute shule inakuwa na sehemu hifadhi ya msitu Shule, maeneo yetu mengi bado yana nafasi ya kuwapa wanafunzi sehemu ya kujifunza utamaduni wa kupanda miti’’ amesisitiza

Mhe. Chongolo amesemakuwa tukiwapatia shule ekari tano na kuwapa maelekezo ya kuitunza kuhakikisha miti hiyo unakuwa na pia  TFS waende waweke vibao kutambulisha miti hiyo kwa kutumia majina ya asili na Kila mti na faida zake.

‘’Katika changamoto ya uvamizi nchi yetu inauongozi kuanzi ngazi ya Kijiji, kunawatu wameajiriwa na Serikali na wanalipwa mishahara, kunamtu amechaguliwa na wananchi awaongoze kwa niaba Yao kwanini eneo livamiwe nae yupo maana yake hajatimiza wajibu’’ amesema

‘’Napanga Siku ndani ya mwezi wa tano nitakuja kuzinguka na machifu, harafu waniambie mipaka iko wapi na waniambie hicho Kijiji ni Kijiji gani yule ambaye amepewa dhamana na Serikali lakini hajatimiza wajibu wake tutasalimia wakati huo tukikuta kunachangamoto’’

Hatuwezi kuwa na changamoto wakati Kuna watu wamepewa dhamana wanachukulia mambo kawaida hakuna kukaa kienyeji Kila mtu atimize wajibu wake Hilo halina haja ya maneno mengi

Machifu ninyi mmesema mnateknolojia ya ulinzi basi mi nitakuwa jaji wa hizo kesi zitakazo tokea humo msituni msipate shida iwekeni hiyo teknolojia nami nitakuwa ntakuja kuwatembelea

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa