• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUTOA RISITI ZA EFD MBOZI

Kurushwa hewani: October 20th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mhe. Esther Mahawe amewataka wafanyabiashara wa Wilaya hiyo kuhakikisha wanatoa risiti za kielekroniki wanapouza bidhaa katika maduka yao.

DC Mahawe ametoa wito huo leo Alhamisi Oktoba 20, 2023 wakati wa zoezi la ubandikaji stika za TRA katika maduka ya wafanyabiashara katika mji mdogo wa Mlowo.

Katika zoezi hilo Mkuu wa Wilaya huyo amesema kuwa muuzaji ana wajibu wa kutoa risiti na mnunuaji bidhaa anatakiwa adai risiti.

"Unaponunua bidhaa mbalimbali katika maduka kumbuka kudai risiti na unapomuuzia mteja hakikiksha unampa risiti" amesisitiza

Mhe. Mahawe amesema kuwa kodi hizo zinapokusanywa ndizo zinasaidia kupata maendeleo katika maeneo husika ambapo Serikali inategemea kodi hizo ili ipate fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na huduma.

"Hizi fedha tunazozikusanya kupitia mashine za EFD ndizo zinaleta zahanati, vituo vya afya, barabara, maji nk. Niendelee kuwatia shime wana Mbozi unaponunua kitu chochote dai risiti, ili tuweze kujenga Tanzania moja maana ndio pekee tuliyonayo tutaijenga kwa nguvu zetu" amesema DC Mahawe na kuongeza;

"Nitoe wito kwa TRA muwe mnapita mara kwa mara katika maduka ya wafanyabiashara ili kuona kama haya yanatekelezwa kwa vitendo. Niseme tu tuko pamoja na tunamsapoto Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazoendelea kuzifanya. Na tumeona mapato yanavyozidi kupanda na kila mahali katika nchiameeleza"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa