• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

SONGWE WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI, KUPELEKA WATOTO KUPATA CHANJO YA POLIO

Kurushwa hewani: September 16th, 2023

Wazazi na walezi mkoa wa Songwe wametakiwa kuchukua tahadhari kwa watoto wao kwa kuwapeleka kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa Polio kutokana na ugonjwa huo kutokuwa na tiba.

Pia, wametakiwa kuondoa dhana potofu kuwa chanjo hiyo ina athari kwa binadamu kwa kuwa taarifa hizo hazina ukweli kwani chanjo hiyo ni salama na haina madhara yoyote huku wanahabari wakitakiwa kutoa taarifa sahihi zenye kuhamasisha umuhimu wa chanjo hiyo katika jamii.

Akizungumza wakati wa mafunzo kwa wanahabari wa Mkoa wa Songwe yaliyofanyika leo Jumamosi Septemba 16, 2023 na Afisa Uelimishaji kutoka Wizara ya Afya, Penford Joel amesema kampeni ya chanjo ya polio itafanyika siku nne hivyo wazazi na walezi wahakikishe watoto wao wao waliochini ya miaka nane wanapata chanjo hiyo.

Amesema kuwa chanjo inamuongezea mtoto kinga ya kupambana ni ugonjwa hivyo watoto watakaopata chanjo hiyo watakuwa salama dhidi ya Polio tofauti na ambao hawatapata ambao watakuwa katika mazingira hatari kuambukizwa ugonjwa huo ambao mpaka sasa hauna tiba.

Amebainisha kuwa ugonjwa huo ukimpata mtoto atapata ulemavu wa kudumu na kusababisha vifo hivyo wananchi wahamasike kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo muhimu.

"Ugonjwa wa Polio umekuwa tishio kwa miaka mingi katika nchi nyingi duniani, na unasababisha kupooza na baadaye vifo. Tunawaomba wananchi mkoa wa Songwe kujitokeza na kuhakikisha watoto wote chini ya miaka nane wanapata chanjo. Kampeni hii ikishapita hawatapata tena hivyo wahakikishe wanatumia siku hizi nne” amesisitiza.

Chanjo hiyo ambayo inatolewa kwa siku nne itaanza Septemba 21 hadi 24, 2023 ambayo itafanyika katika Mkoa wa Songwe, Mbeya, Katavi, Rukwa, Kigoma na Kagera.

Katika Mkoa wa Songwe kampeni hiyo inatarajia kuwafikia na wakuchanja jumla ya watoto 402, 644 ambapo Halmashauri ya Mbozi watoto 180,713 wanatarajiwa kufikiwa, Songwe watoto 53,687, Momba 66,065, Ileje 50,563 huku Halmashauri ya Mji Tunduma ikitarajia kuwafikia watoto 51, 716.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa