• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

SAWA YAKABIDHI MATUNDU 135 YA VYOO KWA SHULE MBOZI

Kurushwa hewani: February 22nd, 2024

Shirika lisilo la kiserikali la Sanitation and Water Action (SAWA) chini ya ufadhili wa Shirika la Watoto Duniani (UNICEF) limekabidhi matundu 135 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi yaliyojengwa katika shule mbalimbali za msingi.


Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo leo Alhamisi Februari 22, 2024, katika shule ya msingi Mlowo

Msimamizi wa Mradi wa SAWA, Mhandisi Wilhelmina Malima amesema lengo la kukabidhi matundu hayo ni kuboresha afya za wanafunzi, usafi wa mazingira, huduma ya vyoo na huduma ya maji ikiwa na lengo la kukuza ufaulu na watoto kufikia ndoto zao, ambapo matundu hayo na miundombinu ya maji vimegharimu zaidi ya Sh600 milioni.


Shughuli zilizofanyika katika Mradi huo ni pamoja na ujenzi wa majengo mapya, uboreshaji wa huduma ya maji, ujenzi wa vifaa vya kunawia mikono, uboreshaji mifumo ya ukusanyaji  na uteketezaji taka


Mhandisi Malima amesema kuwa mradi umefanikiwa katika mambo mbalimbali ikiwemo ukarabati wa vyoo, kuimarika kwa tabia za kiafya, upatikanaji wa maji safi, hamasa ya utoaji wa chakula, kuimarika kwa usafi shuleni na ushiriki mkubwa wa jamii.


Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Danny Twelve ametoa shukrani za dhati kwa mashirika hayo na kusema kuwa bado upungufu upo wasichoke kutoa misaada hiyo.


"Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mbozi na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi tunathamini na  kuheshimu msaada huu utakao punguza pengo la upungufu wa miundombinu hii ambapo watoto wetu watajisitiri katika mazingira yalio Bora"


Mwakilishi wa Shirika la Watoto Duniani Nyanda za Juu Kusini, Remijius Sungu ametoa shukrani kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa ushirikiano na mwitiko mkubwa katika kukamilisha miradi hiyo.


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbozi, Mhe.George Musyani ameshukuru mashirika hayo kwa kuendelea kuwa na imani na Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa kuleta miradi.


Ametoa rai kwa idara zinazohusika na malezi na makuzi ya watoto kuendelea kukumbusha wajibu wao, watoto wazidi kufundishwa namna ya kuitunza na mazingira na miundombinu iliyowekwa katika maeneo yao.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa