• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

RC MICHAEL: NIMEKUJA KUBORESHA MAZURI YOTE MKOA WA SONGWE

Kurushwa hewani: March 10th, 2023

SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema amekuja kuboresha yale yote mazuri ambayo yamefanyika na watangulizi wake.


Dk Michael aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushika nafasi hiyo Februari 26 mwaka huu kushika nafasi ya Waziri Kindamba ambaye amehamishiwa mkoani Tanga.


Dk Michael anakuwa mkuu wa mkoa huo wa awamu ya tano tangu uanzishwe mwaka 2016, ambapo mkuu wa mkoa wa kwanza alikuwa Chiku

Galawa akafuatiwa na Brigedia Jenerali Nicodemas Mwangela, Omary Mgumba na Waziri Kindamba.


Leo Ijumaa Machi 3, 2023, Dkt. Francis Michael wakati akizungunza na watumishi wa Ofisi ya Mkoa kwa lengo la kufamiana na kuweka mikakati ya kazi ili kufikia lengo la Rais Samia la kuwaletea maendeleo wananchi wa Songwe, ameahidi kuyaendeleza mazuri ya watangulizi wake.


Amesema mikakati yote iliyowekwa ya maendeleo kwa wananchi wa Songwe itaendelezwa kwa kushirikiana na watumishi pamoja na wananchi.


"Katibu Tawala wa Mkoa ondoa hofu sitabadilisha jambo zuri ambalo mmelifanya nitajifunza mengi kutoka kwenu naomba ushirikiano wenu tutaboresha mikakati yote iliyofanyika na mtangulizi wangu" amesisitiza.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Bi. Happiness Seneda amesema watumishi wote wa Songwe wako tayari kutoa ushirikiano na kutekeleza maelekezo yote yatakayotolewa na Mkuu wa Mkoa.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Mhe. Methew Chikoti akiongea kwa niaba ya madiwani wa Mkoa wa Songwe amempongeza Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Francis Michael kwa kuaminiwa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuiongoza Songwe na kuhaidi kutoa ushirikiano wa kutosha.


Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mhe. Solomon Itunda amesema watahakikisha wanaboresha ushirikiano na kuimarisha ili waweze kuleta maendeleo kwa wananchi.


Wakati huo huo, Mhe. Dkt. Francis Michael amemshukuru Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumteua kuja kufanya kazi Songwe


Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SHULE YA WENYE MAHITAJI MAALUMU WAISHUKURU SERIKALI, WATOA MAPENDEKEZO, MBOZI

    March 21, 2023
  • RC MICHAEL ATAJA VIPAUMBELE VITANO MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • SIJAWAHI KUJUTIA KUFANYA KAZI MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUWAFIKIA WAKULIMA WA CHINI, MBOZI

    March 09, 2023
  • Ona vyote

Video

video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa