• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

RC CHONGOLO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI MBOZI

Kurushwa hewani: February 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Sojgwe, Mhe. Daniel Chongolo amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Karasha ambayo imejengwa kupitia mradi wa Sequip awamu ya pili.


Mhe. Chongolo ametoa pongezi hizo leo Alhamisi Februari 13, 2025 wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.


Akizungumzia miradi aliyoitembelea na kuikagua, Mhe. Chongolo ameitaja shule hiyo ya sekondari ya Sequip awamu ya pili kuwa imejengwa kwa viwango.


"Mimi nimetembea kwenye majengo mengi ya shule lakini ukiangalia kwa shule hii imejengwa vizuri sana. Kuna changamoto za kawaida sana ambazo ni  chache za kurekebisha lakini hongereni sana" amesema


Mkuu wa Mkoa huyo ameahidi kupeleka shule nyingine katika kata hiyo ya Mlowo kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaosoma kwa shule hizo zilizopo


Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa huyo ametoa wito kwa wenyeviti wa Kijiji na vitongoji kuhakikisha wanafunzi waliopangiwa shule wanaripoti shuleni kabla sheria haijaanza kuchukua mkondo wake.


Pia, katika ziara hiyo, Mhe. Chongolo amemkabidhi mradi kwa mkandarasi kwajili ya uchimbaji wa kisima cha umwagiliaji, kuona usambazaji wa umeme katika kitongoji cha Ilonga Kata ya Mahenje, kuweka jiwe la msingi katika mradi wa Shule mpya ya Sekondari Karasha, kukagua na kuona miundombinu ya afya Hospitali ya Vwawa, kukagua upanuzi wa mradi wa maji Vwawa-Mlowo na shule mpya ya Sekondari Sakamwela mradi wa Sequip kata ya Mlowo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa