• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

RAS SENEDA AWATAKA WAKUU WA IDARA NA VITENGO KUSIKILIZA KERO ZA WATUMISHI, AIPONGEZA HALMASHAURI YA MBOZI KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

Kurushwa hewani: October 24th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Bi Happiness Seneda amewataka wakuu wa Idara na Vitengo katika  Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kusikiliza na kutatua kero za watumishi wa Wilaya hiyo.

Amesema hayo leo Jumanne, Oktoba 24, 2023  watikati wa ziara ya kukagua na kufanya tathimini ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika Wilaya hiyo.

Akizungumza na watumishi wa Tarafa ya Iyula, Katibu Tawala huyo amesema kuwa ukiwasikiliza watumishi vizuri watatekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

"Hebu wasikilizeni watumishi kero walizonazo na kuzitatua ili wafanyekazi kwa bidii" amesema

Amesema kuwa bila kutatua kero za watumishi wanakuwa na mawazo mpaka wanapata magonjwa yasio ambukiza ikiwemo presha, kisukari na vidonda vya tumbo.

Hata hivyo Bi Seneda ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo.

"Tumekuta katika miradi kuna ushirikishwaji mzuri wa wananchi na viongozi kuanzia ngazi ya chini,

"Niongeze kuwapongeza sana Halmashauri ni vigumu kukuta mradi umekamilika na fedha zikabaki hii ni mara chache sana ninawapongeza" amesema

"Nimefurahishwa sana na usimamizi wa mradi wa BOOST shule ya msingi Idunda ambao walipokea milioni 106 ujenzi wa madarasa 4 na matundu 3 ya vyoo lakini wamebakiza chenji kama milioni 5,600,000"

"Maeneo mengi ya miradi unakuta yamekamilika lakini wanakwambia bajeti haikutosha tuongeze hiki mara kile" amesema

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa