• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MIFUGO AFUNGUA MAFUNZO YA MAAFISA UGANI MIFUGO NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI SONGWE

Kurushwa hewani: March 25th, 2024

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Daniel Mushi amefungua rasmi mafunzo rejea kwa maafisa ugani wa mifugo wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini iliyohusisha mikoa ya Songwe,Rukwa, Katavi, Mbeya, Ruvuma, Njombe na Iringa.


Mafunzo hayo yamefunguliwa leo Jumatatu 25 Machi 2024, katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Songwe Nselewa, Mbozi.


Akizungumza katika ufunguzi huo Naibu katibu mkuu huyo amesema kuwa sekta ya mifugo haijawahi kupata kipaumbele kama ilivyokuwa miaka mitatu iliyopita hivyo wana kila sababu ya kutumia fursa hiyo ilikuleta mabadiliko chanya kwa wafugaji


‘’Sisi kama Wizara tunawajibu wa kutengeneza sera na  miongozo  na wanaokwenda kutafsiri hiyo miongozo ni ninyi maafisa ugani, sisi tunawaona kama kiungo muhimu sana katika kuleta chachu ya mabadiliko katika sekta  katika sekta ya kiuchumi’’ amesisitiza na kuongeza;


‘’Ndio maana Tukasema hebu tukutane leo tujengeane uelewa wa pamoja tuweze kukumbushana mambo machache kwa hiyo haya  mafunzo ni muhimu sana, nisisitize kwamba mafunzo hayo mtakwenda kuyafanyia kazi kwa vitendo na tusipo yatendea kazi ni kazi bure’’.


Profesa Mushi amesema kuwa Tanzania inasifa kubwa ya kuwa nchi ya pili Barani Afrika kuwa na mifugo mingi ukiachana na Ethiopia


Vile vile Naibu katibu mkuu huyo amese makuwa kanda ya Nyanda za Juu kusini maarufu kwa ng’ombe wa maziwa hivyo wizara ina kila sababu ya kuwekeza zaidi ili tija ipatikane kwa ngombe hao wa maziwa


‘’Na pia tunakwenda kuanzisha kituo kipya cha mafunzo ya mifugo ngazi ya Cheti hapa Mkoa wa Songwe ambacho kitajengwa Wilaya ya Mbozi katika kata ya Igamba Kijiji cha Mbozi ambapo mkandarasi ameshapewa mkataba wa kuanza kazi.


Akizungumza katiaka mafunzo hayo Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mhe. Farida Mgomi amewapongeza washiriki wa mafunzo hayo kwa kupata fursa ya kupata mafunzo.


‘’Sekta ya mifugo ni imepiga hatua sana  kwa kiasi kikubwa sana, wengi wetu tumeshawahi kushuhudia maafisa ugani wakipewa pikipiki ilikuwawezesha kuwafikia wafugaji katika maeneo

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa