• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MBOZI WAFANYA ZIARA NACHINGWEA KUBADILISHANA UZOEFU KUINUA SEKTA YA ELIMU MKOANI LINDI

Kurushwa hewani: April 12th, 2024

Wataalamu wa Idara ya Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wamefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi kwa lengo la kubadilishana uzaoefu wa utendaji kazi ili kuboresha sekta ya elimu.


Ziara hiyo ambayo imeongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mhe. George Musyani ikiwahusisha watendaji wa Idara ya Elimu Awali na Msingi pamoja na waratibu elimu kata wa kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi imefanyika leo Ijumaa Aprili 12, 2024 katika Halmashauri ya Nachingea mkoani Lindi.


Akizungumza katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mhe. George Musyani amesemakuwa kupitia ziara hiyo wamejifunza mikakati mbalimbali inayopandisha kiwango cha elimu.


"Tumeona walimu walivyo na ushirikiano na wazazi, tumeona utolewaji wa chakula mashuleni kamati zinavyokusanya vyakula na kuleta shuleni kwaajili ya wanafunzi;


Kingine tumejifinza uwazi wa walimu wakuu kwa staff wenzao katika matumizi ya fedha za capitation. Tumefungua dirisha hili la undugu tunaomba ushirikiano wenu" amesema


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, Mheshimiwa Adinan Mpyagila amesema kuwa wamewekeza hasa kupitia mazao ikiwemo uuzaji wa zao la korosha katika kuboresha sekta ya elimu.


"Sisi nachingwea tumewekeza kweli kweli, kwa msimu huu wa korosho tumeweka zaidi ya shilingi milioni 500 kwaajili ya uboreshaji wa elimu ili kuhakikisha tunafanya vizuri ndio maana matokeo yanakuwa mazuri


"Naamini mmejifunza mengi na mtakwenda kuyapeleka katika Halmashauri yenu" ameeleza

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa