• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MAMA TUNU PINDA AWATAKA WANAWAKE KUPINGA UKATILI, KUTUMIA FURSA KATIKA MAENEO YAO MKOANI SONGWE

Kurushwa hewani: March 10th, 2023

MBOZI. Wanawake wametakiwa kupaza sauti ili kupinga vitendo vya ukatili vinavyoefanywa katika jamii zao.


Pia, wametakiwa kuungana katika vikundi ili kunufaika na fursa zinazojitokeza katika maeneo yao.


Rai hiyo imetolewa leo Jumatano Machi 8, 2023 na Mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Mkoa wa Songwe, mama Tunu Pinda ambeye ni Mke wa Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda.


Mgeni huyo rasmi amesema vipo vikwazo ambavyo vimekuwa vikikwamisha wanawake kujikwamua kiuchumi ikiwamo mila, kutokuthubutu na kukata tamaa.


Amewataka kutumia fursa ya mikopo inayotolewa na Serikali ili kuwawezesha kuinuka kiuchumi.


"Kina mama kopeni msiogope maadam mnarudisha, kutumia fursa zinazopatikana katika maeneo yetu ili kuanzisha viwanda" amesema


Amesema Serikali ipo tayari kuwapa wanawake mikopo nchini kupitia asilimia 10 za mapato ya halmashauri hivyo wanawake watumie fursa hiyo.


"Tuungane pamoja na kufanya kazi kwa bidii na kufikiria nje ya boksi, kila fursa inayotokea mwanamke awe mbele   ili afanikiwe" ameshauri mgeni huyo rasmi


Amesema kutokana na kutokuwepo usawa wa kijinsia, bado wanawake wanashindwa kujikwamua kutokana na kukandamizwa hivyo amewataka kuungana kupinga mila na tamaduni katika jamii.


Amesema ni wakati wa wanawake kuungana na kupambana kupinga ukatili wa kijinsia.


"Tupambane na kupinga ukatili wa kijinsia. Tuhakikishe vitendo vya udhalilishaji kutokomea nchini" amesema

Pia, amewataka wanawake kuzingatia lishe ili kutokomeza udumavu kwa watoto.


"Suala la lishe ni muhimu kwa watoto wetu, elimu itolewe kuanzia kwa mama anayetarajia kupata ujauzito na aliye na ujauzito kwa kila kaya ili kupata watoto wenye afya bora" amesema

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa