• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI WATAKA WANAOFANYA UKATILI WACHUKULIWE HATUA, MBOZI

Kurushwa hewani: May 2nd, 2023

MBOZI. Baraza la Madiwani Wilaya ya Mbozi limelaani vikali vitendo vya kikatili vinavyoendelea katika jamii.


Baraza hilo ambalo limekutana leo Ijumaa Aprili 28, 2023 lilikuwa likijadili taarifa ya robo ya tatu kuanzia Januari mpaka Machi


Akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, George Musyani amesema kuwa kuna haja ya jamii ya watu wa Mbozi kwa kushirikiana na viongozi wa Wilaya hiyo kufuatilia katika vitendo hivyo na kutoa taarifa katika vyombo husika.


Mwenyekiti huyo amesema Wanambozi kuna haja ya kuondoa dhana ya kuwalinda watu wanaofanya ukatili.


Hoja hiyo imeibuka katika kikao hicho kutokana na kuwepo kwa tuhuma za mwalimu wa shule ya msingi Senjele anayedaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita na kutoroka.


Kwa upande wake Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Vwawa, Aida Sanatu ameomba walimu kuwa walezi wa wanafunzi na sio kugeuka mwiba.


"Naomba hatua zichukuliwe haraka sisi kama madiwani tunalaani vikali vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia"


Diwani wa Kata ya Igamba .... amesema "Watoto wetu wataziona taasisi zetu kama jehanamu tuna jambo la kufanya kuwarudisha walimu katika suala ya uadilifu" amesema


Neema Nzowa ambaye ni diwani wa viti maalum Kata ya Vwawa amesema kuwa UWT ilifanya ziara katika ofisi ya dawati la jinsia walibaini kuwa kuna hali mbaya katika wilaya ya Mbozi kutokana na kukithiri kwa matukio ya ubakaji na ulawiti


"Tunaomba ofisi ya Mkuu wa Wilaya yetu achukue hatua sitahiki na ikiwezekama waliofanya vitendo hivi hatuwataki katika wilaya yetu"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa