• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA UGANI WATAKIWA KUWAFIKIA WAKULIMA WA CHINI, MBOZI

Kurushwa hewani: March 9th, 2023

MBOZI. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi (DC),  Esther Mahawe amesemakuwa wilaya ya hiyo inakwenda kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya kilimo baada ya maafisa ugani kukabidhiwa pikipiki na Serikali.


Amebainisha hayo jana Ijumaa Machi 10, 2023 wakati akikabidhi pikipiki hizo 81 kwa maafisa ugani wa wilaya hiyo.


DC Mahawe amesema anaamini kama wilaya na mkoa kwa ujumla inakwenda kuzalisha kwa wingi kutokana na wataalamu wa kilimo kuwezeshwa vitendea kazi ambavyo vitawafanya wamfikie mpaka mkulima wa chini.


Akizungumza na maofisa ugani katika hafla hiyo mkuu huyo wa wilaya amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia vyombo hivyo ambavyo vitakwenda kuinua utendaji wa maofisa hao.


"Hata kama watu wanasema hawajaona kama vitu vinafanyika, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika" amesema


Tumeona kwa macho yetu juhudi za mama kwaajili ya kuwezeshwa kilimo cha kisasa chini ya Waziri wake wa kilimo Bashe.


Sitegemei vyombo hivi mkafanyie bodaboda au kufanya uhalifu wowote nategemea vyombo hivi kwenda kufanya kazi iliyokusudiwa" ameagiza


"Niwahimize muende mkafanye kazi ndugu zangu mkaoneshe kabla ya kupata pikipiki ilikuaje na baada ya kupata imekuaje" amesema


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Gorge Musyani amesema kuwa hilo ni jambo kubwa kwani maofisa ugani walikua wamesahaulika na hivyo pikipiki hizo zimejibu kilio chao cha muda mrefu.


"Ni imani yangu kazi inayokwenda kufanyika ni kubwa itakuwa na matokeo makubwa mara mbili ya yaliyo kuwepo" amesema Musyani


"Mbozi tumebeba Mkoa wa Songwe naamini tukipanda katika uzalishaji tutaupandisha mkoa na kutoka kwenye nafasi ya tatu mpaka ya kwanza;


Rai yangu kwenu vyombo hivi viende kufanya kazi iliyokusudiwa twende tukahudumie wakulima kule chini tukatoe ushauri katika ngazi za vitongoji" amesema


"Zamani walionekana sana maofisa mifugo sio maafisa ugani sasa tukawaelimishe wakulima mazao mazuri yanapatokana kwa kufuata kanuni bora za kilimo tumuunge mkono Rais wetu kwakuleta matokeo chanya" amesema

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa