• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

IDIWILI WAWEKA MIKAKATI KUINUA UFAULU WA WANAFUNZI, MBOZI

Kurushwa hewani: February 27th, 2023

MBOZI. Wadau wa elimu Kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe wamewekea mikakati mbalimbali itakayosaidia kuinua  kiwango cha elimu katika kata hiyo.


Mikakati hiyo imefikia leo Jumamosi Februari 25, 2023 katika kikao cha wadau wa elimu katika kata hiyo.


Akitoa salamu kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo, afisa taaluma elimu msingi, Oswad Mwakabungila amesema kuwa mkurugenzi amemwagiza mambo manne.


Mwakabungila ametaja mambo hayo kuwa ni pamoja na utoaji wa chakula shuleni kuwa hilo sio ombi ni lazima.


"Kufuta KKK tatu, walimu wahakikikishe wanatokomesza uwepo wa wanafunzi ambao hawajui kusoma kuandika na kuhesabu na wahakikishe wanabandika ofisini ordha ya wanafunzi ambao hawajui kusoma orodha ofisini na chini ya majina yale iwepo mikakati ya kukablikiana na hiyo changamoto"amebainisha na kuongeza;


"Usimamizi wa pamoja miradi mbalimbali inayoletwa katika shule zetu maana bila kufanya hivyo ndio maana kunatokea kusuasua kwa utekelezaji wa miradi hii kitu ambacho sio sawa"


Ofisa taaluma huyo ameongeza kuwa katika suala la  taaluma Kata ya Idiwili haiko shwari hivyo wajitahidi ionekane wananapiga hatua.


"Mwaka huu matokeo hayatakuwa ya shule yatakuwa ya mwalimu binafsi kwahiyo ukifanya vibaya utawajibishwa wewe kama mwalimu" amesisitiza


Kwa upande wake Diwani wa Kata hiyo, Christopher Ntandala amesema wapo tayari kupokea miradi itakayoletwa na serikali.


"Suala la chakula mimi pamoja na watendaji na wenyeviti wa vijiji nitahakikisha tunaongea na wananchi na baada ya wiki mbili tutatoa mrejesho" ameahidi diwani huyo.


Naye afisa elimu Kata  ya Idiwili, Michael Nzunda amesema upendo na ushirikiano ndio vinainua elimu hivyo kuwataka kuwa na ushirikiano.


"Utoro wa walimu mahala pa kazi pia ni changamoto" ameeleza Nzunda


Ametoa wito kwa walimu kuwapa watoto mazoezi ya kutosha ili waweze kiluyakumbuka waliyofundishwa kupitia mazoezi hayo.


"Mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko tupige hatua tuweke mkazo katika hili, tumekubaliana kila mtihani tupige hatua na maelekezo yote tumeyapokea na tutayafanyia kazi na mrejesho tutawapatia" amesema


Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SHULE YA WENYE MAHITAJI MAALUMU WAISHUKURU SERIKALI, WATOA MAPENDEKEZO, MBOZI

    March 21, 2023
  • RC MICHAEL ATAJA VIPAUMBELE VITANO MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • SIJAWAHI KUJUTIA KUFANYA KAZI MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUWAFIKIA WAKULIMA WA CHINI, MBOZI

    March 09, 2023
  • Ona vyote

Video

video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa