• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC WA MOMBA AWAPONGEZA MADIWANI WILAYA YA MBOZI

Kurushwa hewani: October 27th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Momba Mhe. Kenani Kihongosi amewapongeza waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa kazi wanazoendelea kuzifanya katika Wilaya hiyo hasa ya kuleta maendeleo kwa wananchi.

Mhe. Kenani ametoa pongezi alipomwakilisha Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt Francis Michael katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Oktoba 27,2023.

‘’Pamoja na majadiliano mtakayoyafanya kwa masilahi ya wananchi napenda kusisitiza mambo machache ikiwemo ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwani bila mapato nchi hawezi kupiga hatua na vilevile mapato yakusanywe kupitia mifumo ya Serikali kuhakikisha fedha zinafika sehemu husika’’ amesema

Ameongeza kuwa baadhi ya Halmashauri zimekuwa zikikusanya fedha mbichi, fedha za mikononi hali ambayo sio sahihi.

"Ili tuweze kupiga hatua vizuri ni lazima tubane matumizi na tukusanye mapato ya kutosha na dhamira njema itakuwa imetimia kwa watu waliotupa ridhaa ya kuongoza katika kata zetu, kwahiyo suala la mapato likawe ajenda ya kudumu na kama tunakusanya tutumie kwa uadilifu" amesisitiza

Jambo linguine alilosisitiza Mhe. Kihangosi ni usimamizi wa miradi ya maendeleo.

"Mheshimiwa Rais analeta fedha nyingi nyie wenyewe ni mashahidi katika miradi ya afya, elimu, maji, barabara umeme, sasa hapo kazi yetu ni kwenda kusimamia kuhakikisha thamani ya fedha inaendane na mradi;

Msikubali kupokea miradi iliyochini ya kiwango kwa maana mainjinia wetu wawe wanafika saiti kusimamia miradi, tumeajiriwa tunalipwa mishahara kwaajili ya umma kwahiyo kila mmoja akatimize wajibu wake".

"Tusimamie suala la usafi wa mazingira, utupaji taka ovyo, uchomaji misitu, ufyekaji misitu bila utaratibu bila kufanya hivi tutajikuta tunaingia kwenye ukame, magonjwa ya mlipuko"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa