• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MBEGA AWAAGIZA WATENDAJI, WENYEVITI KUHAKIKISHA UHARIBIFU WA MAZINGIRA UNAKOMA, ATOA WIKI MOJA YA MABADILIKO MBOZI

Kurushwa hewani: March 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Hamad Mbega amewaagiza watendaji kata, watendaji wa vijiji na  wenyeviti wa vijiji kuhakikisha vitendo vya uharibifu wa mazingira vikiwemo ukataji miti na uchomaji mkaa vinatokomezwa katika maeneo yao huku akitoa wiki moja kwa watendaji wa kata ambazo uharibufu wa mazingira umekidhiri kufanya mabadiliko ya kudhibiti uharibifu huo.


Amesema kuwa utekelezaji wa agizo hilo utakuwa kipimo kwao kama wanatosha kwenye nafasia zao na kama hawatabadilika ataagiza wachukuliwe hatua za kinidhamu.


Mhe. Mbega ametoa maagizo hayo leo Jumatatu Machi 10, 2025 wakati wa kikao maalumu cha kupanga mikakati ya namna ya kudhibiti ukataji miti, uharibifu wa misitu na uchomaji mkaa katika Wilaya hiyo kilichowahusisha Kamati ya Usalama ya Wilaya, Wataalamu kutoka Idara ya Maliasili na Mazingira, TFS, Watendaji wa Kata 12, watendaji wa vijiji, wenyeviti wa vijiji na vitongoji vya kata 12 ambazo uharibifu wa mazingira umekidhiri.


Amesema kuwa kikao hicho kimekuja baada ya ziara iliyofanywa na Kamati ya Usalama ya Wilaya kuona na kufanya tathimini ya hali ya uharibifu wa mazingira, ikiwa ni utekelezaji wa maagizo la Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo wakati akimwapisha Mkuu wa Wilaya huyo.


DC Mbega amesema kuwa baada ya kufanya ziara Kamati ya Usalama ilibaini kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa mazingira kwa kata nne  unaotokana na ukataji miti kwa ajili ya uchomaji mkaa pamoja na shughuli za kilimo.


“Ukataji wa miti ni jambo ambalo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan analikemea lakini pia Mkuu wetu wa Mkoa (Mhe. Daniel Chongolo) wakati ananiapisha aliniambia jukumu la kwanza changamoto iliyo katika Wilaya yetu ya Mbozi ni ukataji wa miti na uuzaji wa mkaa ni jambo ambalo unapaswa kulishughulikia na maelekezo yale alinipa mimi lakini yanatakiwa yashuke mpaka huku chini kwenu (watendaji wa kata). Kwa hiyo watendaji kata na vijiji mnajukumu la kuhakikisha uharibifu wa mazingira haupo” amesema


Amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Rais Samia imeanzisha mpango maalumu wa ugawaji wa mitungi ya gesi bei nafuu

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa