• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MBEGA ATEMBELEA ENEO LA KIMONDO, ASISITIZA WANANCHI KUHIFADHI MAZINGIRA, MBOZI

Kurushwa hewani: February 8th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Hamad Mbega amefanya ziara maalumu katika eneo la kihistoria la Kimondo lililopo wilayani humo ikiwa ni mwendelezo wa ziara wa  kutembelea taasisi za umma

zilizopo wilayani humo.


Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mhe. Mbega amebainisha kuwa eneo la Kimondo ni urithi wa thamani kwa taifa na lina nafasi kubwa katika kukuza utalii wa ndani na nje ya nchi.


Amesisitiza kwamba juhudi za pamoja zinahitajika ili kuhakikisha eneo hilo linaendelea kuhifadhiwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na vijavyo.


Mhe. Mbega ametoa wito kwa jamii inayozunguka eneo hilo kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi katika kulinda na kutunza kivutio hicho.


Kimondo cha Mbozi ni moja ya kimondo kikubwa duniani na kufanya kuwa kivutio cha kipekee kwa wanasayansi, wanahistoria, na watalii Mamlaka ya Ngorongoro, inayosimamia eneo hilo, imeweka juhudi kubwa kuhakikisha urithi huu unaendelea kuwa kivutio cha kimataifa.


Mhe. Mbega amesisitiza kuendelea kuhifadhi mazingira, na uhamasishaji wa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda urithi wa taifa.


Ameahidi kushirikiana na mamlaka husika kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazojitokeza ili kuboresha uzoefu wa watalii na kuongeza mapato ya wilaya na Taifa kwa kwa ujumla


Aidha, ametoa pongezi kwa Mamlaka ya Ngorongoro kwa kazi nzuri ya kusimamia eneo hilo na kuhakikisha linaendelea kuwa salama.


Wakati wa ziara hiyo, Mkuu wa Wilaya alikutana watumishi wa eneo hilo na baadhi ya viongozi wa kata ya Mlangali na kuzungumza nao mazungumzo yao yalilenga kuweka mikakati ya pamoja ya kuboresha eneo hilo na kuongeza idadi ya watalii.


Pia, aliwahimiza wananchi kuona umuhimu wa utalii kama moja ya njia za kuimarisha maisha yao kupitia fursa za ajira na biashara.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa