• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MBEGA AMWAKILISHA RC CHONGOLO UZINDUZI WA BODI YA USHAURI HOSPITALI YARUFAA , SONGWE

Kurushwa hewani: January 31st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Hamadi Mbega amwemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.


Hafla hiyo imefanyika Ijumaa Januari 31, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe iliyopo Mji wa Vwawa, Wilayani Mbozi.


Katika hafla hiyo, Mhe. Mbega amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa juhudi zake za kuboresha miundombinu hasa katika sekta ya afya.


Mkuu wa Wilaya huyo ameeleza kuwa lengo la kuzindua Bodi hiyo ni kuboresha utoaji wa huduma bora na utawala bora katika hospitali pamoja na kusimamia rasilimali zilizopo.


"Bodi itashughulikia matumizi sahihi ya fedha kwa kuzingatia vipaumbele katika utoaji wa huduma kwa wananchi, itapokea na kujadili taarifa za fedha pamoja na taarifa za utoaji wa huduma za afya ili kuweka taasisi katika hali salama" ameeleza


Amesisitiza kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Rais Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya kazi kubwa ya kuboresha miundombinu, ikiwemo huduma za afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.


Kwa kipindi cha miaka 2019 hadi 2024, jumla ya Shilingi bilioni 16 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya hospitali hiyo.


 Miundombinu hiyo inajumuisha jengo la wagonjwa wa nje (OPD), jengo la huduma za maabara, jengo la mama na mtoto, jengo la wagonjwa mahututi (ICU), jengo la wagonjwa wa dharura, nyumba ya mtumishi, na mradi wa DST ambapo majengo yote hayo yamekamilika na yanatoa huduma.


Aidha, Kwa mwaka wa Fedha 2023/24, hospitali imetumia zaidi ya Shilingi milioni 171 katika ujenzi wa jengo la ndugu kusubiri, kichomea taka, na ujenzi wa njia za watembea kwa miguu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa