• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE: WAHUDUMU WA AFYA NINYI NI MASHUJAA MBOZI

Kurushwa hewani: July 25th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe amewataka watumish i wa afya katika Hospitali ya Wilaya hiyo Vwawa kufanya kazi kwa weledi ili kuokoa maisha ya watu huku akisema wahudumu hao ni mashujaa.

Mkuu huyo wa Wilaya ametoa rai hiyo leo Jumanne Julai 25, 2023 baada ya kufanya usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi-Vwawa ikiwa ni maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya mashuja.

DC Mahawe ambaye ameongoza watumishi mbalimbali wa wilaya pamoja na baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika zoezi hilo amesema kuwa wameamua kuadhimisha siku hiyo kwa kufanya usafi kutokana na mkoa huo kutokuwa na mnara wa kumbukumbu ya mashujaa.

Amesema kuwa watumishi wa afya hasa matabibu wanapokea watu wengi wakiwemo wagonjwa hivyo amewaasa kufanya kazi kwa weledi ili kuokoa maisha yao.

“Mimi niwapongeze na kuwashukuru. Tuendelee kutekeleza majukumu yetu hasa ninyi matabibu muendelee kufanya kazi zenu kwa weledi ili kuokoa maisha ya watu wengi wanaoletwa mikononi mwenu. Mungu awabariki sana” amesema DC Mahawe na kuongeza;

“Tunajua mpango wa kufa ni wa Mungu lakini ninyi mnaweza kuokoa maisha ya mtu ili asife kizembe kwa sababu ninyi ni matabibu wa duniani hivyo ninyi ni mashujaa na tunatambua jitihada zenu” amesema

Pia, Mkuu huyo wa Wilaya amewashukuru watumishi wote waliojitokeza kufanya usafi katika hospitali hiyo.

Awali akizungumza baada ya zoezi hilo la usafi, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbozi Majaliwa Mlawizi amesema kuwa watumishi wa afya ni mashujaa ambao wanaokoa maisha ya watu hivyo kada hiyo ni muhimu sana.

“Tumaeamua kuja kufanya usafi katika eneo la hospitali. Hapa napo kuna mashujaaa. Mashujaa hawa wanapambana katika kuokoa maisha ya wananchi.

“Mimi nitoe rai kwa wahudumu maisha yetu tunapokuwa tunafika hapa yako mikononi mwenu. Fanyeni kazi kwa weledi” amesema

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa