• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE: MIRADI NANE YA SH8.2 BILIONI ITAPITIWA NA MWENGE WILAYA YA MBOZI

Kurushwa hewani: September 4th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi (DC), Mh Esther Mahawe amesema kuwa Mwenge wa Uhuru 2023 utakimbizwa kilomita 154 huku ukipitia miradi nane yenye thamani ya Sh8.2 bilioni katika Wilaya hiyo.

 DC Mahawe amesema hayo leo Jumatatu Septemba 4, 2023 baada ya kupokea Mwenge huo katika Kijiji cha Nanyala kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mh Solomon Itunda.

Wilaya ya Mbozi inakuwa ya tatu kupokea Mwenge huo leo ambapo utakimbizwa na kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo kabla ya kukabidhiwa Halmashauri ya Mji Tunduma kesho.

Akizungumza katika mapokezi hayo kiwilaya, Mkuu huyo wa Wilaya amesema "Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Mbozi utakimbizwa Kilometa 154 na utapita katika miradi nane yenye thamani ya Shilingi Bilioni 8.2 " amesema Mh Mahawe

"Ninaahidi kwa kipindi chote Mwenge wa Uhuru utakapokuwa hapa Songwe tutaulinda, tutautunza pamoja na wakimbiza Mwenge wote. Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie"

Mwenge wa Uhuru ulipokewa kimkoa Jumamosi Septemba 2 mwaka huu katika kijiji cha Kamsamba Wilayani Momba na unatarajiwa kukabidhiwa Mkoa wa Mbeya Septemba 7 mwaka huu.

Akizungumza katika mapokezi ya Mwenge huo kimkoa, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mh Dk Francis Michael alieleza kuwa Mwenge huo utakimbizwa Kilometa 722 na kupotia miradi 47 yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 15.5

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa