• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AWATAKA WANAWAKE WAZALISHAJI NA WAANDAAJI KAHAWA KUZINGATIA MAFUNZO MBOZI

Kurushwa hewani: July 23rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe amewafaka wanawake wazalishaji na waandaaji wa kahawa katika wilaya hiyo  kuzingatia mafunzo ili kukabiliana na changamoto katika mnyororo wa thamani wa kahawa wakiwa kama timu.

Mkuu huyo wa Wilaya ametoa rai hiyo leo Jumapili Julai 23, 2023 wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha wanawake wazalishaji na waandaaji wa kahawa kwa Wilaya ya Mbozi kilichofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Vwawa Day.

Kikao hicho kilikuwa na lengo la kuwaunganisha wanawake wote waliopo katika uzalishaji na uandaaji wa kahawa na shirika la International Women Coffee Alliance (IWCA) ili waweze kujengewa uwezo, kutafuta masoko na kupata bei rafiki ya kahawa.

Katika kikao hicho DC Mahawe amesema kuwa wilaya hiyo ina vyama vya msingi vya mazao 113 ambavyo vinakusanya kahawa na mazao mengine mchanganyiko.

"Asilimia 90 ya kahawa sawa na kiasi cha kilo 8,112,956 za kahawa inayozalishwa Mbozi ni kutoka kwa wakulima wadogo na asilimia 70 ya nguvu kazi na waandaji wa kahawa ni wanawake" amesema na kuongeza;

"Kwa miongo kadhaa kahawa imekuwa zao la kiume. Kwa kuona changamoto hii, fursa zilizopo tumeona ni muhimu wanawake wakaifahamu IWCA ili waweze nufaika na fursa zilizopo zikiwemo za uuzaji wa kahawa"

 International Women Coffee Alliance (IWCA)  ni shirika lisilo la kiserikali lenye madhumuni ya kuwasaidia wanawake wazalishaji na waandaaji wa kahawa katika kufikia bei nzuri ya kahawa na kuwajengea uwe

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa