• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI MBOZI

Kurushwa hewani: November 29th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Esther Mahawe amewaasa wananchi wa Mbozi kuendelea kujikinga na maambikizi ya virusi vya UKIMWI kutokana na Wilaya hiyo kuwa na takwimu za juu kuliko viwango vile vya kitaifa.

Rai hiyo ameitoa leo Jumatano Novemba 29, 2023 katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kiwilaya ambayo yamefanyika katika viwanja vya Wantanda Kata ya Isansa.

Katika hotuba yake Mkuu wa Wilaya huyo amesema kuwa Mbozi ni miongoni mwa Wilaya za mkoa wa Songwe zinazokabiliwa na kuwapo kwa changamoto ya kuwepo kwa tatizo la VVU/UKIMWI.

 "Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI ni jukumu la Kila mwanajamii mahali alipo ambapo sera ya taifa inalenga kufikia 2030 Tanzania isiwe na maambikizi mapya ya VVU/UKIMWI" amesema na kuongeza;

"Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hasan imedhamiria kupunguza kiwango cha maambukizi ya ugonjwa huo kwa kutoa elimu juu ya njia za kujikinga na ugonjwa huo" ameeleza

"Kutokana na kukithiri kwa maambikizi ya ugonjwa huo wananchi tunatakiwa kuepuka ubaguzi na unyanyapaa kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI, ukatili wa kijinsia, ngono isiyo salama, unywaji pombe uliokithiri, kushiriki ngono katika umri mdogo, ubakaji na ulawiti"

 Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani mwaka 2023 ni "Jamii iongoze kutokomeza UKIMWI"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa