• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AWATAKA MADIWANI, WATAALAM KUIMARISHA USALAMA NA KUTEKELEZA MAAGIZO YA RC WA SONGWE

Kurushwa hewani: May 15th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mhe Esther Mahawe awataka waheshimiwa madiwani na wataalam  ngazi ya kata kuimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yao.


Pia, Mhe. Mahawe amewasisitiza madiwani na wataalam katika Halmashauri kutekeleza maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo kujipanga katika utekelezaji wa maagizo ya Kamati za Bunge na hoja za mkaguzi wa ndani.


Mkuu huyo wa Wilaya amesema hayo leo Jumatano Mei 15, 2024 wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.


"Ni jukumu letu kuhakikisha tunazuia hoja zisizokuwa na msingi na pia kuhakikisha majibu yanapatikana pindi zinapojitokeza. Vituo vyote vya afya kuhakikisha vinafungwa mfumo wa GOTHOMMIs ili kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato" amesema


"Kuhusiana na maelekezo ya kutanua vyumba vya biashara katika eneo la stendi ya Mlowo maelekezo ya mkuu wa mkoa amesisitiza wataalamu watakao simamia ugawaji wawe wenye weledi na tuhakikishe tunatekelezwa kwa wakati"


Amesema kuwa utekelezaji wa agizo hilo la ukarabati wa miundombinu ya stendi ya Mlowo utafanyika kwa wakati.


"Lingine ni mapato nawapongezeni sana kwa hatua mliofikia umoja wetu ndio ushindi wetu, natoa rai kuwa jukumu la kukusanya mapato ni letu sote tuhakikishe tunadhibiti uvujaji wa mapato hasa kipindi hiki cha mavuno" amesema DC Mahawe na kuongeza;


"Hakuna diwani atalalamika akose kura 2025 kwasababu mambo mengi Mh Rais amefanya katika kata yake hivyo ni wajibu wa madiwani kuwaeleza mazuri yanayofanywa na Serikali" ameeleza

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa