• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AWAPA SOMO WANANCHI NAMNA KUONGEZA KIPATO WILAYA YA MBOZI

Kurushwa hewani: July 19th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Esther Mahawe amewataka wananchi kuwekeza katika kilimo cha kahawa, parachichi na makademia kwa kuwa ni fursa ya biashara katika soko la kimataifa huku akiipongeza taasisi ya Kates Foundation kwa uwekezaji wa miti ambayo ni njia mojawapo ya utunzaji mazingira.

Mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kuwekeza katika sekta ya kilimo hivyo wananchi wanatakiwa kutumia fursa hiyo.

Akizungumza wakati alipotembelea taasisi hiyo leo Jumatano Julai 19, 2023 DC Mahawe amesem kuwa wameamua kuahirisha mambo mengine yaliyopangwa kufanyika leo na kuwatembelea wadau ili kuthamini kazi wanazozifanya katika wilaya hiyo.

Taasisi hiyo imewekeza katika uzajishaji wa zaidi ya miti 200,000 ikiwemo ya matunda katika Kijiji cha Hatete kilichopo kata ya Iyula Wilayani Mbozi.

“Nianze na pongezi. Hongereni sana, tulikuwa na ratiba zingine kama kawaida Mkuu wa Wilaya huwezi kukosa ratiba kwamba kuna siku tu imekaa bila kazi. Basi tukaahirisha jambo lingine ambalo lilikuwa lifanyike leo tukaja ili kuthamini kazi inayofanywa na wadau ndani ya wilaya yetu” amesema

Amesema manufaa ya mradi huo yatakuwa ya Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla huku akigusia tahadhari ya El nino ambayo inasababishwa na uharibifu wa mazingira hivyo program hiyo inasaidia kutunza mazingira.

DC huyo ambaye alikuwa ameambatana na baadhi ya viongozi wa Hamashauri hiyo ameeleza kuwa licha ya kuuza mazao yanayotokana na kilimo hicho ipo fursa ya kuuza hewa ya ukaa ambayo katika maeneo mengine nchini wakulima wamenufaika nayo hivyo amewataka wananchi kuendelea kuwekeza katika upandaji wa miche ya parachichi, kahawa na makademia.

Amesema kuwa wakulima wakiwekeza katika kilimo hicho wataongeza kipato na kuisaidia halmashauri hiyo kuongeza mapato.

Amemshukuru Rais Samia kwa kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo ikiwa ni mpango wa kuwasaidia na kuwainua wakulima.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa