• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE ATEMBELEA HOSPITALI KUONA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA MADAKTARI BINGWA, AWATAKA WANAUME KWENDA KUPATA HUDUMA MBOZI

Kurushwa hewani: May 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mhe. Esther Mahawe ametembelea Hospital ya Vwawa kuangalia mwenendo wa matibabu yanayotolewa na madaktari bingwa kambi ya Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


Mkuu huyo wa Wilaya ametembelea Hospitali hiyo leo  Alhamisi Mei 16, 2024.


Akizungumza na baadhi ya wananchi walifika kupata huduma za kibingwa katika hospitali hiyo, Mhe. Mahawe  amesema kuwa usipokuwa na afya imara huwezi kufanya kazi hata ikiwa na mikakati kiasi gani.


"Nichukue fursa hii kumshukuru sana Mheshimiwa Rais Samia  kwa kuwaleta madaktari hawa, tangu Mheshimiwa Rais ameingia madarakani amefanya mambo makubwa sana hasa katika sekta ya afya kwa kuleta vifaa tiba ikiwemo mashine za kisasa"


"Lakini kama mmemsikiliza waziri wa afya bungeni akiwasilisha bajeti ya afya kuna ongezeko kubwa baada ya Mhe. Rais kuingia madarakani kulinganisha na ile kabla hajaingia madarakani"


"Alitambua sio watanzania wote wanaweza kwenda katika hospitali kubwa za rufaa akaona awalete madaktari bingwa wawafuate wananchi katika maeneo yao, nani kama mama. Mama Samia tunampa maua yake hii sio kwa Mbozi tu ni nchi nzima huu ni mwanzo mzuri"


Mhe. Mahawe amesema kuwa mpaka sasa madaktari hao bingwa wamewaona watu 201 ambapo wakinamama 140 na kinababa 61 katika hospitali hiyo ya Wilaya.


"Kinababa mliopo hapa ndani leo nendeni mkawape taarifa wenzenu kuja kuangalia afya zao, wanaume mna magonjwa mengi kuliko wanawake lakini mnayavumilia. Ninyi wanaume mmeumbwa kwa tope na wanawake wameumbwa kwa mifupa, kwa hiyo acheni uzembe wakutokuja kuangalia afya zenu"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa