• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AITAKA FAMILIA YA MWAMBOGOLO KUPENDANA-MBOZI

Kurushwa hewani: May 2nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi (DC), Esther Mahawe ameitaka familia na ndugu wa aliyekuwa

mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mlowo wilayani Mbozi  mkoani Songwe, Meshack Mwambogolo kuishi kwa upendo na mshikamano ili kuyaenzi aliyokuwa anayafanya mwenyekiti huyo.


Mwili wa Mwambogolo ambao ulikutwa umening'inia kwenye mti katika msitu uliopo kitongoji cha Iyenga Kijiji cha Shaji Kata ya Mlangali jana umezikwa leo Jumanne Aprili 25, 2023.


Akizungumza wakati wa mazishi yaliyofanyika Kijiji cha Shaji Kata ya Mlangali wilayani Mbozi, DC Mahawe amesema zipo baadhi ya familia ambazo akifariki baba migogoro inaibuka hivyo hategemei hayo kujitokeza kwenye familia na ndugu wa Mwambogolo.


"Tuendelee kuifariji familia kwa upendo na hatimaye maumivu yao yawe yameishia kwenye kaburi la baba yao, mengine yote sisi tukafanyike baraka na kimbilio kwa familia ya marehemu" amesema mkuu huyo wa wilaya ambaye ameshiriki pamoja na mamia ya wananchi katika mazishi hayo.


"Tuendelee kupendana, hivi tulivyojitokeza Mungu atuepushe na unafiki na atupe mwisho mwema, ninawapa pole sana" amesema


Jana wakati akitoa taarifa ya kifo hicho, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Theopista Mallya alisema kuwa kabla ya kujinyonga,  Mwambogolo alitoa Sh118 milioni na kuziweka kwenye akaunti ya Joseph Muhume kwa ajili ya kununulia kahawa ambapo baada ya kumuingiza fedha hizo Joseph alitoroka.


Kamanda Theopista alisema kuwa Mwambogolo aliacha ujumbe ambao unaiomba familia yake imsamehe kwa uamuzi alioufanya wa kujinyonga

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa