• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DAS MBOZI AWAPA 'BIG UP' WANANCHI KWA KUKUSANYA ZAIDI YA TANI 35 ZA CHAKULA CHA WANAFUNZI SHULENI KATA YA ITUMPI

Kurushwa hewani: May 18th, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbozi, ndugu Mbwana Kambwangwa amewapongeza wananchi wa Kata ya Itumpi Wilaya ya Mbozi kwa kuchangia zaidi ya tani 35 za chakula kwaajili ya kuwezesha watoto wao kupata chakula shuleni katika Kata hiyo.


Ndugu Kambangwa ametoa pongezi hiyo wakati wa kikao kazi cha kuzungumza na watumishi wa Serikali wa Kata ya Itumpi chenye lengo la kufahamiana kilichofanyika Mei 18, 2024.


Amesema kuwa hiyo imeweka utaratibu mzuri wa kuhakikisha kila mzazi mwenye mwanafunzi wa shule ya msingi au sekondari anachangia chakula wakati wa mavuno ili kutatua changamoto ya ukosefu wa chakula kwa wanafunzi.


"Niwapongeze sana kwa kuweka mikakati madhubuti katika zoezi la kukusanya chakula katika shule zenu tano za msingi na moja ya sekondari na mpaka sasa mna zaidi  ya tani 35 za chakula, hii sio mchezo hongereni sana walimu, mheshimiwa diwani na kamati ya maendeleo ya kata" amesema


"Hii imeonyesha jinsi gani wote mnaongea lugha moja. Maharage mmekusanya tani nne mmejitahidi sana. Na hili tunalibeba kama mfano katika maeneo mengine. Utolewaji wa chakula mashuleni ni moja ya kiashiria cha shule salama"


Amewataka wale waliopewa dhamani ya kusimamia zoezi la chakula mashuleni kuwa waadilifu na kuzingatia weledi katika kusimamia matumizi ya vyakula na fedha zilizochangwa.


Pia, Katibu Tawala huyo amewasisistiza watumishi hao kuzingatia malezi kwa watoto na watu wazima ikiwa ni pamija na kuchukua tahadhari ya mambo ya ulawiti, ubakaji na ukatili.


Kata ya Itumpi imeweka utaratibu wa wazazi kuchangia chakula cha wanafunzi wakati wa mavuno kitakachohifadhiwa na kutumika mpaka msimu unaofuata

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa