• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

ALAT MKOA WA SONGWE WAIPONGEZA WILAYA YA MBOZI UNUNUZI WA EXCAVATOR

Kurushwa hewani: March 2nd, 2023

MBOZI. Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Mkoa wa Songwe wameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa ununuzi wa mtambo wa ujenzi excavator.


Excavator hiyo iliyonunuliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kupitia mapato ya ndani iliwasili katika ofisi za halmashauri hiyo Jumatatu Februari 27, 2023.


Pongezi hizo zimetolewa Jana Alhamisi Machi 3, 2023 wakati wa ziara ya jumuiya hiyo ya wakitembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika wilaya hiyo.


Jumuiya hiyo imesema kuwa Halmashauri ya Mbozi imeubeba mkoa wa Songwe kwani mkoa huo ulikua hauna mtambo huo hivyo kupelekea miradi kuchelewa kwa kisingizio cha kukosa mtambo huo huku ikimshauri Mkurugenzi wa Malmashauri hiyo, Abdallah Nandonde kuwa makini na usimamizi madhubuti wa mradi huo ili ulete tija.


Wenyeviti wa halmashauri za mkoa huo wameahidi kuutumia kwa kukodi kwaajili ya miradi ya halmashauri zao.

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, George Musyani alisema kuwa halmashauri hiyo inampango wa kununua mitambo mingine inayofanya kazi sambamba na mtambo huo.


Jumuiya hiyo imetembelea shule ya Sekondari ya Nambala iliyojengwa kwa fedha za mradi wa SEQUIP ambao jumuiya hiyo imepongeza halmashauri hiyo kwa ujenzi wa shule hiyo.


Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Abdallah Nandonde amesema kuwa mradi huo umefanikiwa kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu wanafunzi wa vijijini jirani na shule hiyo.


"Mpaka sasa wanafunzi walikua wanatembea umbali mrefu kwenda sekondari nyingine wa kidato cha pili na tatu wameshaanza masomo katika shule hii" amesema


Jumuiya hiyo pia imetembelea shule ya sekondari Ivwanga ambapo jumuiya hiyo imepongeza ujenzi wa shule hiyo yenye jumla ya madarasa 16, na kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha hizo kwaaajili ya ujenzi wa Madarasa hayo


Hata hivyo halmashauri ya wilaya ya Mbozi imechangia milioni 50 mapato ya ndani katika ujenzi wa matundu 39 ya vyoo  na miundombinu ya maji na umeme katika shule hiyo.

Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SHULE YA WENYE MAHITAJI MAALUMU WAISHUKURU SERIKALI, WATOA MAPENDEKEZO, MBOZI

    March 21, 2023
  • RC MICHAEL ATAJA VIPAUMBELE VITANO MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • SIJAWAHI KUJUTIA KUFANYA KAZI MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUWAFIKIA WAKULIMA WA CHINI, MBOZI

    March 09, 2023
  • Ona vyote

Video

video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa