Kurushwa hewani: January 23rd, 2024
Afisa mradi wa Shirika la SAWA, Bi. Rebeca Magurusa amesema kuwa moja ya mikakati ya mradi wa SHH kutoka Shirika hilo ni kuhakikisha wanatoa elimu kuhusiana na masuala ya hedhi salama kwa vijana ambao...
Kurushwa hewani: January 2nd, 2024
DED MBOZI AISHUKURU TaFF KWA KUTOA RUZUKU YA VIFAA KWA VIKUNDI 10
Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Abdallah Nandonde ameushukuru Mfuko wa Misitu Tanzania kwa kuwapatia ruzuku ya ...
Kurushwa hewani: April 23rd, 2024
Mkuu wa mkoa wa Songwe Mhe Daniel Chongolo amewataka wakazi wa Mbozi kuhakikisha wanajenga utamaduni wa kupanda miti ili kutunza mazingira na kuacha tabia ya kupanda miti kwa matukio
Mkuu...