Kurushwa hewani: January 27th, 2024
Polisi Mkoani Songwe wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu wakati wanatimiza wajibu wao.
Rai hiyo imetolewa leo Jumamosi Januari 27, 2024 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe ACP G...
Kurushwa hewani: January 26th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi imepandisha bajeti yake ya mapato ya ndani kutoka bilioni 4.5 ya mwaka wa fedha 2024/24 kufikia bilioni 6.7 mwaka wa fedha 2024/25 ikiwa na ongezeko la asilimia 49.
...
Kurushwa hewani: January 25th, 2024
Ili kuendeleza elimu ya mapambano ya rushwa, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Songwe, imekabidhi zawadi kwa wanafunzi walioibuka kidedea katika uandishi wa insha katika Halm...