Kurushwa hewani: February 7th, 2023
Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba ametoa wito kwa washitiri walioingia mkataba na mkoa huo kuwa wanahakikisha wanasambaza kwa wakati mahitaji yanayotakiwa kusambazwa katika halmashauri h...
Kurushwa hewani: February 7th, 2023
SONGWE. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo wasimamie fedha zinazokusanywa zipelekwa benki ili kuepuka wakusanyaji kuzitumia fedha hizo.
...
Kurushwa hewani: February 2nd, 2023
MBOZI. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, George Musyani amewataka watendaji kata na vijiji kusimamia ukusanyaji wa mapato katika maeneo yao ili kuinua mapato ya halmashauri hiyo.
...