Kurushwa hewani: February 23rd, 2023
MBOZI. Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Danny Tweve ameziagiza shule za msingi na sekondari ambazo hazijaanza kutoa chakula kwa wanafunzi katika wilaya hiyo kuanza mara moja kwa kuw...
Kurushwa hewani: February 23rd, 2023
MBOZI. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Ester Mahawe amesema kuwa wanawake wajawazito wanaofika kujifungua katika vituo vya afya vya Serikali Wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, hawatakiwi kutozwa fedha.
...
Kurushwa hewani: February 21st, 2023
MBOZI. Naibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuaia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Songwe, Mohamed Shariff ametoa wito kwa wote wenye dhamana ya kutekeleza, kufuatilia na kusimamia miradi ya maendeleo ...