Kurushwa hewani: March 10th, 2023
SONGWE: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael amesema amekuja kuboresha yale yote mazuri ambayo yamefanyika na watangulizi wake.
Dk Michael aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hass...
Kurushwa hewani: March 2nd, 2023
MBOZI. Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Mkoa wa Songwe wameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa ununuzi wa mtambo wa ujenzi excavator.
Excavator hiyo iliyonunuliwa na Halmashauri y...
Kurushwa hewani: February 27th, 2023
MBOZI. Wadau wa elimu Kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe wamewekea mikakati mbalimbali itakayosaidia kuinua kiwango cha elimu katika kata hiyo.
Mikakati hiyo imefikia leo J...