Kurushwa hewani: December 7th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mh. Esther Mahawe amewataka madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwenda kusimamia kwa dhati miradi ya maendeleo katika maeneo yao.
Rai hiyo ameitoa leo Alhamisi Disemb...
Kurushwa hewani: November 24th, 2023
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwa ujenzi wa shule ya msingi ya kisasa mpya DR Samia Suluhu Hassan ya mradi wa BOOST iliyo...
Kurushwa hewani: December 8th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Esther Mahawe amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kupanda miti katika kaya zao ili kuepuka athari za kimazingira zinazoweza kujitokeza kutokana na uharibifu mkubwa wa mazin...