Kurushwa hewani: February 3rd, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe ameahidi kulivalia njuga suala la baadhi ya wahudumu wa afya wilayani humo wanaodaiwa kuwatoza fedha wanawake wajawazito na wanaotoa lugha zisizo na staha kwa wa...
Kurushwa hewani: January 31st, 2024
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Songwe imetoa wito kwa watumishi wenye dhamana ya kusimamia miradi ya maendeleo kuhakikisha wanasimamia kwa ufanisi.
Wito huo um...
Kurushwa hewani: January 27th, 2024
Polisi Mkoani Songwe wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu wakati wanatimiza wajibu wao.
Rai hiyo imetolewa leo Jumamosi Januari 27, 2024 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe ACP G...