Kurushwa hewani: September 26th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe , Mhe. Esther Mahawe amekutana na kuzungumza na wadau wa kilimo cha kahawa Wilayani Mbozi.
DC Mahawe amekutana na wadau hao leo Jumanne Septemba 26, 2023 katik...
Kurushwa hewani: September 21st, 2023
Wananchi wa Mkoa wa Songwe wametakiwa kuhakikisha watoto chini ya umri wa miaka 8 wanapata chanjo dhidi ya ugongwa hatari wa Polio
Rai hiyo imetolewa na Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Songwe, ...
Kurushwa hewani: September 19th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Esther Mahawe ametoa wito kwa walimu na wanafunzi ndani ya Wilaya ya Mbozi kuhakikisha wanatokomeza division zero katika mtihani wa kidato cha nne.
Ametoa wito huo leo Juman...