• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

*WAFANYAKAZI WAIPA TANO SERIKALI, WAOMBA KUBORESHEWA MISHAHARA, SONGWE

Kurushwa hewani: May 2nd, 2023

SONGWE. Wafanyakazi Mkoa wa slSongwe wamesema kuwa wanaunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya kuendelea kujenga nchi kiuchumi kwa maslahi ya wananchi pamoja na wafanyakazi.


Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei Mosi 2023 wakati wa sherehe ya sikukuu ya wafanyakazi 'Mei Mosi' ambayo kimkoa imefanyika katika viwanja wa Shule ya Msingi Mkwajuni wilayani Songwe.


Akisoma risalavkwa niaba ya wafanyakazi katika kilele cha sherehe hizo Katibu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Songwe  ambaye pia ni a mratibu wa Tucta, Lazaro William Manyama amesema kuwa tangu Rais Samia aingie madarakani wameshuhudia nia yake njema kwa  wafanyakazi.


"Nukweli usiopingika kuwa tangu mama  ameingia madarakani tumeshuhudia nia yake njema kwa kupandisha madaraja yalikuwa kwa muda mrefu, kulipa madai mbalimbali ya watumishi ingawa bado kuna watumishi wanadai"


"Kubwa zaidi ni kwa wafanyakazi ambao walioondolewa kazini kwa vyeti feki kurudishiwa michango yao ya mifuko ya jamii ambayo walikuwa wanachangia" amebainisha


Amesema kuwa wanaiomba Serikali iendelee kuboresha mishahara ya wafanyakazi ambayo kiuhalisia ni midogo ukilinganisha na gharama za maisha halisi.


"Sisi wafanyakazi tunaimani kuwa Serikali ikiboresha mishahara yetu itaongeza morali ya kufanya kazi mwisho tija itaongezeka" ameeleza


"Wafanyakazi tunatambua pia juhudi za kuongeza ajira kupitia sekta binafsi. Tunaipongeza Serikali na tunaunga juhudi hizo isipokuwa tunaomba ajira ziwe za staha, ziwe zinalinda uhuru, heshima na usalama wa wafanyakazi, mikataba ya ajira, kulipwa mishahara kwa wakati"


Pia wafanyakazi hao wameipongeza ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe kwa jinsi inavyoshirikiana na wafanyakazi na kutatua changamoto mbalimbali za wafanyakazi


"Tuna baadhi ya changamoto ambazo tunajua zipo ndani ya uwezo wako kama vile upandaji wa madaraja kwa mserereko, fedha za uhamisho kutolipwa kwa wakati, fedha za mizigo kwa wastaafu kutolipwa kwa wakati, upungufu wa nyumba za watumishi, wafanyakazi wa afya kutolipwa extraduty kwa wakati, wafanyakazi kusimamia miradi ya ujenzi wakati sio taaluma yao" maeeleza

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa