• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

RC WA SONGWE ATATUA MGOGORO KATI YA WAMILIKI SHAMBA LA NAFCO NA VIJIJI VINNE MBOZI

Kurushwa hewani: November 30th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Dkt. Francis Michael ametatua mgogoro wa shamba la NAFCO kati yawamiliki ambao ni Wakala wa Mbegu ASA na baadhi ya vivijiji vinavyozunguka shamba hilo.

 Dkt. Michael ametatua mgogoro huo leo Alhamisi Novemba 2023 katika Kijiji cha Magamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe Mkuu wa Mkoa huo amesema kuwa alisikia sitofahamu hiyo na akamtuma Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Mhe. Ester Mahawe.

 "Na sisi kama viongozi tumeona jinsi tunavyozidi kukaa na kuchelewa kutoa suluhisho la tatizo hili tu takuwa tunawakwaza wakulima kwasababa ni msimu wa kutayarisha mashamba kwa hiyo kama kuna mgogoro wowote wa ardhi haukupaswa kukalishwa kwa muda mrefu ili tumalize wananchi waendelee na kilimo" amesema

"Ndio maana leo nimekuja ili tuonane na hawa wananchi, migogoro imekuwa mingi ya ardhi lakini tumeitatua naamini na huu umekwisha" ameeleza

Mkuu wa mkoa huyo ametoa ekari 500 kutoka katika ekari 1,586 na kuwagawia wananchi wa vijiji hivyo vinne ambapo Kila Kijiji kitapewa ekari 125, ambapo awali vijiji vyote hivyo vilikuwa vikigombea ekari 250.

 Amevitaja Vijiji vilivyopewa ekari hizo kuwa ni Magamba, Hangomba, Itewe na Iporoto.

Vilevile Mkuu wa Mkoa huyo amemuagiza Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kuhakikisha maafisa ardhi wanakwenda kuhakiki na kupima eneo hilo ili wakulima waendelee na kilimo.

Akieleza chanzo cha mgogoro huo Afisa Ardhi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Emmanuel Mamkwe amesema kuwa ni wamiliki wa shamba la NAFCO kulalamikia mipaka ya vijiji hivyo kuingia katika shamba lao hivyo kuomba Wiraza ya Ardhi kufufua mipaka ya shamba hilo kulingana na ramani ya upimaji iliyopo wizarani.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa