• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MWENYEKITI MBOZI DC ATEMBELEA ENEO LENYE MGOGORO KIJIJI CHA ISANDULA

Kurushwa hewani: March 16th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mhe. George Musyani ametembelea  shule ya Sekondari ya Isandula kata ya Ukwile kushughulikia mgogoro wa ardhi katika Kijiji hicho kwa kufanya majadiliano kutafuta suluhuhisho baina ya pande mbili.


Majadiliano kuhusu mgogoro huo yamefanyika leo Jumamosi Machi 16, 2024 katika Shule ya Sekondari Isandula kata ya Ukwile.


Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti huyo wa Halmashauri amesemakuwa kuwa wamefika katika sekondari hiyo ambapo kuna mgogoro baina ya wananchi wa Kijiji Cha Rudewa  na Sekondari ya Isandula


"Tumesikiliza maoni ya wananchi na pia tumekutana na Serikali ya Kijiji na Halmashauri za chama na bodi ya Shule kuweza kujua uhalisia na historia" amesema George Musyani


Ameongeza kuwa "historia inaonesha kuwa eneo hilo lilikuwa wazi mwaka 2004 Serikali ilipotoa agizo ya kujenga sekondari kila kata ndipo taratibu za uanzhishwaji wa Shule ulianza na Kijiji kilitenga ekari 125, wametufafanulia katika kikao cha ndani"


Mwenyekiti huyo amesema kuwa baada ya kikao hicho cha ndani wamerudi kuwasikiza wananchi ambao ndio wenye kero ambapo madai yao wamesema kupitia mikutano yao ya hadhara walitoa kiasi cha ekari 20 na baadaye waliwaongeza ekari kumi hivyo shule ikawa na ekari 30.


"Baada ya kuwasikiliza pande zote mbili tumeona kuna ukinzani wa taarifa  katika kuhitimisha tumeona sote turudi kujiridhisha na tumempa kazi Mkurugenzi Mtendaji ayafanyie kazi baadhi ya mambo ikiwa moja wapo ni kufuatilia taarifa na mihutasari ya Kijiji cha Rudewa ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha viongozi wa kipindi hicho ili kujua mchakato wa hati ilivyotolewa"


 "Tunahitaji kujua utaratibu upi ulitumika katika suala la upimaji wa ardhi wakihusishwa majirani wa eneo, na pia tutahitaji ofisi ya kijiji iweze kutuletea nyaraka tuweze kujua nani walikuwepo kama majirani Ili tujue nani anamwingilia mwenzake" ameeleza


Akisimulia historia ya eneo hilo Redson Swepa ambeye alikuwa mwenyekiti wa Kijiji Cha Chimbuya wakati huo amesema kuwa shule ya kata hiyo ilitakiwa kujengwa katika Kijiji cha Ihanda lakini viongozi wa kata hiyo waliona kama kata wawe na Shule yao kwa kuwa walikuwa

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa