• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MABEYO: MAKUMBUSHO YA KISASA KUFUNGUA FURSA ZA UCHUMI SONGWE

Kurushwa hewani: March 10th, 2023

MBOZI. Mwenyekiti Bodi Hifadhi ya Ngorongoro, Jenerali Venance Mabeyo amesema makumbusho ya kisasa katika eneo la kimondo Kijiji cha Ndolezi kata ya Mlangali wilayani Mbozi mkoani Songwe  yatafungua fursa za kiuchumi katika jamii hiyo.


Mabeyo amesema hayo leo Jumamosi Machi 4, 2023 wakati akifungua makumbusho hayo.


Katika hotuba yake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama mstaafu huyo amesema sio jambo dogo Kijiji hicho kupata makumbusho hayo ya kisasa.


Mabeyo amewashukuru viongozi wa kimila kutoa ushirikiano kuonesha mila na desturi ya jamii inayokaa katika maeneo hayo na kusema kua makumbusho hayo ni ya kwanza Nyanda za Juu Kusuni.


"Kuna baadhi walikua wanaogopa kufika hapa lakini kwa sasa panafikika, nawashukuru vijana wazalendo waliokuja na wazo hili la kuanzisha makumbusho haya" amesema na kuongeza


"Kilichotokea hapa ni cha kuigwa kwasababu ni fursa ambayo itawaongezea wanajamii wanayoizunguka kipato kupitia suala la utalii"


Ameitaka jamii kutunza eneo hilo kutokana na historia yake, akieleza kuwa hata jina la mkoa wa Songwe umetokana na uwepo wa ndege wakubwa wenye shingo ndefu walioitwa Songwesis.


Hata hivyo ameahidi kulifanyia kazi suala la fidia ya maeneo yao na kuahidi kuwa litafanyiwa kazi kwa muda mfupi kwa kuwa Serikali ni sikivu.


"Serikali haiwezi kushindwa kulipa bilioni 1.4 kwa wananchi waliopisha utanuzi wa kituo hiki naomba muendelee kuipenda selikali yenu" amesisitiza


Ameiagiza Hifadhi ya Ngorongoro kuendelea kubuni vivutio vingi katika eneo hilo na kuongeza kuwa watalii wakija eneo hili wakute vitu vingi vya kutembelea.


Mabeyo amesema kuwa faida ya kutembelea vivutio vya utalii ni pamoja na kupata afya ya akili huki akiwasihi wasiache kuboresha shule zilizopo katika eneo hilo.


Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dk Fransis Michael  ameikaribisha Hifadhi ya Ngorongoro kufanya maboresho zaidi katika kituo cha kimondo.


Amezitaja fursa za uwekezaji katika eneo la maliasili na utalii katika mkoa huo kuwa ni pamoja na ujenzi wa hoteli kubwa pamoja na kumbi za mikutano, kampuni za kitalii, campsite eneo la kimondo, ufugaji nyuki, bandari kavu, utalii wa madini na utalii wa kilimo.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbozi (DC), Esther Mahawe  amesemakuwa Kila jambo jema linakuja na maumivu kidogo hivyo hiki kinachojengwa kitaleta tija hivyo wanajamii wakipokee kwa


Matangazo

  • No records found
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SHULE YA WENYE MAHITAJI MAALUMU WAISHUKURU SERIKALI, WATOA MAPENDEKEZO, MBOZI

    March 21, 2023
  • RC MICHAEL ATAJA VIPAUMBELE VITANO MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • SIJAWAHI KUJUTIA KUFANYA KAZI MKOA WA SONGWE

    March 21, 2023
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUWAFIKIA WAKULIMA WA CHINI, MBOZI

    March 09, 2023
  • Ona vyote

Video

video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa