• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AWASISITIZA MADIWANI KUSIMAMIA MIRADI KATIKA MAENEO YAO MBOZI

Kurushwa hewani: December 7th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mh. Esther Mahawe amewataka madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi kwenda kusimamia kwa dhati miradi ya maendeleo katika maeneo yao.

Rai hiyo ameitoa leo Alhamisi Disemba 7, 2023 wakati wa Baraza Maalumu la Madiwani lililolenga kuchukua hatua dhidi ya waliotajwa katika hoja za CAG kwaajili ya kutekeleza agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alilolitoa wakati wa ziara yake Wilayani humo mwezi Novemba.

"Madiwani naomba muwe na umiliki wa miradi hiyo, na pia fanyeni mikutano ya hadhara katika maeneo yenu kuwaelezea wananchi aina ya mradi ulioletwa, gharama yake na unakwenda kuwanufaisha vipi wananchi"

"Madiwani wengi hawafanyi mikutano ya hadhara hata kuelezea kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita. Waheshimiwa madiwani na wabunge wetu jitahidini sana kuwafikia wananchi wenu mapema mkaeleze mema yanayofanya na mheshimiwa Rais"

Ameongeza kuwa; "Wilaya ya Mbozi inapokea miradi mingi ya afya, elimu, maji miundombinu lakini nani ataielezea kama sio ninyi, kazi hii imeachwa kwa wateule wa Rais tu wakati wote ni wajibu wetu kufanya haya" ameeleza

"Tunaomba sana usitajwe hata kama unauza vifaa na Kuna uchunguzi unafanywa kama Kuna madiwani wangapi wanajihusisha katika miradi ambayo mwishowake imeleta shida"

Tukimaliza huo mchakato tutakuja na majibu jinsi gani na ninyi mmekua sehemu ya kuharibu michakato ya manunuzi na kuwatishia watumishi usipo nipa hivi nitakuazimia"

Amewataka madiwani hao kuwapa ushirikiano watumishi walioletwa ili wafanyekazi kwa amani na si kuogopa kuazimiwa.

"Lakini Halmashauri kupitia madiwani na watumishi simamieni mapato Halmashauri hii kuna mapato mengi yanavuja, tunadai manispaa na mji lakini mapato yapo chini wakusanyaji ni ninyi"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA March 09, 2025
  • RASIMU PENDEKEZWA YA SHERIA NDOGO ZA MWAKA 2025. March 09, 2025
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DC MBEGA AWATAKA VIONGOZI WA KATA KUSHIRIKIANA KATIKA UTENDAJI

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AGAWA SARE ZA SHULE KWA WANAFUNZI 120 WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU ISANGU

    March 21, 2025
  • DC MBEGA AFANYA ZIARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    March 19, 2025
  • DC MBEGA ASISITIZA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI MZURI WA AMCOS MBOZI

    March 18, 2025
  • Ona vyote

Video

VIJANA MSITUMIE MIKOPO YA 10% KUBET MBOZI
video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa