• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

DC MAHAWE AKUTANA NA WADAU WA KAHAWA MBOZI

Kurushwa hewani: September 26th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe , Mhe. Esther Mahawe amekutana na kuzungumza na wadau wa kilimo cha kahawa Wilayani Mbozi.

DC Mahawe amekutana na wadau hao leo Jumanne Septemba 26, 2023 katika Ukumbi wa Kanisa la Morovian mjini Vwawa.

Kikao hicho ambapo pia kilihidhuriwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbozi,  George Musyani, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Mbunge wa Jimbo la Mbozi, George Mwanisongole na wadau mabalimbali  kimejadili mikakati mbalimbali ambayo itasaidia zao la kahawa kuwa na tija.

Akizungumza katika kikao hicho, Mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa miongoni mwa mikakati inayofanyika ni pamoja na kuwakutanisha wakulima wa kahawa na kampuni ya kuvuna  carbon kutoka kwenye kahawa ambapo kupitia kampuni hiyo wakulima watajiongezea kipato.

Pia, DC Mahawe amesema mkakati mwingine ni kuzidi kutoa elimu na hamasa kwa wanawake kuingia zaidi kwenye uzalishaji wa zao hilo huku akiwasihi wanaume kuwaruhusu wake zao kwa kuwa itasaidia kuleta maendeleo katika familia.

Amesema kuwa kama wakulima wataongeza kipato kupitia zao hilo hata Halmashauri nayo itaweza kukukusanya mapato zaidi.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa Wilaya haijawaacha wakulima hao na inatafuta kila namna ili kusaidia wakulima waweze kunufaika na kilimo hicho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI November 21, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA November 07, 2023
  • TANGAZO KWA WAPANGAJI WA VYUMBA NA MAENEO YA HALMASHAURI November 07, 2023
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DAS MBOZI AWATAKA WATENDAJI KATA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE WILAYA MBOZI

    November 09, 2023
  • ANZISHENI KLINIKI YA KUWABAINI VIJANA WATUKUTU MJINI MLOWO

    November 02, 2023
  • DC WA MOMBA AWAPONGEZA MADIWANI WILAYA YA MBOZI

    October 27, 2023
  • RAS SENEDA AWATAKA WAKUU WA IDARA NA VITENGO KUSIKILIZA KERO ZA WATUMISHI, AIPONGEZA HALMASHAURI YA MBOZI KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI

    October 24, 2023
  • Ona vyote

Video

video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa