• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Mbozi District Council
Mbozi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango , Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Idara ya Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Maliasili
    • Vitengo
      • Wakaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MILIONI 46 KUBORESHA MIUNDOMBINU SHULE YA MSINGI SHITITI

Kurushwa hewani: November 15th, 2020

Serikali imetoa shilingi Milioni 46 kuboresha miundombinu ya Shule ya msingi Shititi iliyopo Kijiji cha Mpanda Kaya ya Nyimbili.Fedha hiyo inajenga miundombinu ya kisasa madarasa 2 na vyoo matundu 6.Timu ya Watalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi imefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi na imeagiza kasi ya ujenzi iongozeke kwa kuwa fedha zipo zote.Mwalimu Mkuu wa Shititi, Mwl. Enifa Sasenga ameishukuru Serikali ya awamu ya 5 kwa kuwapatia fedha za ujenzi wa madarasa ya kisasa ambayo yanajenga taswira nzuri ya Shule na Kitongoji.  Kukamilika kwa madarasa haya kutasaidia wanafunzi kusoma katika mazingira bora shuleni.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 SHULE YA KWANZA HADI YA MWISHO November 22, 2020
  • TANGAZO LA KAZI KWA WATENDAJI WA VIJIJI February 18, 2021
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • SONGWE: WANANCHI WAHIMIZWA KUPIMA UKIMWI KUJUA HALI ZAO KUEPUKA MAAMBUKIZI MAPYA

    December 01, 2020
  • RC MWANGELA: WANANCHI WAPEWE ELIMU ZAIDI KUONGEZA HIFADHI YA KIMONDO

    November 28, 2020
  • RC MWANGELA: ATOA SIKU 7 KWA TAASISI KUWASILISHA MPANGO KAZI WA UTEKELEZAJI WA ILANI

    November 19, 2020
  • SONGWE KUUNDA KIKOSI KAZI KUONGEZA WANACHAMA WA CHF

    November 17, 2020
  • Ona vyote

Video

video zaidi

Kurasa za Karibu

  • You Tube
  • Katiba

Tovuti Muhimu

  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

Watembeleaji wa kimataifa

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

writingMasterThesis

Eneo la ramani

Wasiliana nasi

    Mbozi

    Anuani: 3

    Simu: 025-2580272

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded@mbozidc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki 2017 Halmashauri ya Wilaya-Mbozi. Haki zote zimehifadhiwa